Jumamosi 27 Juni 2026 - 10:40
Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha

Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia mjini Arusha wamefanya Matembezi ya Amani katika kuadhimisha Siku ya Ashura 1448 H/2026, huku wakihuisha kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saww), aliyeuawa kidhalimu katika tukio la Karbala.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Matembezi hayo yalifanyika kwa utulivu na mpangilio mzuri, huku yakijumuisha waumini wa makundi mbalimbali walioshiriki kwa lengo la kuonesha mshikamano wao na kueneza ujumbe wa amani, haki na kupinga dhuluma.

Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha
Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha
Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha Matembezi ya Amani ya Ashura Yafanyika Arusha; Ujumbe wa Haki na Mshikamano Watolewa + Picha

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha